• Call us +255 787 900 787

Your Cart

Checkout | Shopping Cart

HATUA SITA ZA KUWA MWANAFUNZI WA YESU KRISTO

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
2,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Feb 16, 2024
Product Views:
458
In category:
Sample

Ukiwa kama mwalimu wa Neno la Mungu lazima ujue kuna watu wanaokoka sio kwamba wanampenda Yesu Kristo ila wanataka watatuliwe shida zao. Yamkini shida zao zikiisha na wakapata ushwari wanaweza kurudi tena dhambini. Hivyo nivema ukajipanga vizuri katika kulifundisha Neno la Mungu ili liwe na maana kwa mtu anaye okoka.

Kama binadamu anapitia hatua mbalimbali za ukuaji mpaka kuitwa mtu mzima aliyekomaa na mwenye uelewa wakupambanua mambo. Vivyo hivyo mtu anapo okoka anakuwa kama mtoto mchanga lazima apitie hatua zote za ukuaji kwani akiruka hatua moja wapo kunachangamoto itajitokeza hapo mbele.

More Products On Discount
7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

25,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Msafiri Lwihula

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

Best Sellers List
Best Seller
2,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
Old is Gold