• Call us +255 787 900 787

Your Cart

Checkout | Shopping Cart

Hazina Yako Na Kizazi Chako

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
7,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Oct 16, 2023
Product Views:
646
In category:
Sample

Hazina Yako Na Kizazi Chako

Maisha yetu yamefungwa katika nyakati na majira. Hapa ninamaanisha kuna vipindi vya Maisha. Na kwa urahisi ninaweza kusema kuna kipindi kilichopita, kilichopo na kijacho. Kwa kulifahamu hili ni muhimu kutambua kuwa hakuna tunachoweza kubadilisha kwenye yale tuliyokwisha kuyafanya kwenye kipindi kilichopita. Haijalishi hatuyapendi kwa kiwango gani, lakini maadam tumejaliwa kuwa na wakati uliopo, tuna wajibu wa kufikiria sana kuhusu wakati ujao. Na hapo ndipo tunapaswa kufikiria juu ya hazina itakayotusaidia katika wakati huo. Kumbuka kuwa kwa kila anayeyafikiria Maisha yake wakati ujao ni lazima ajitaabishe katika wakati uliopo ili kuweka hazina. Nikukaribishe katika kitabu hiki ambapo mwandishi unazungumza kwa undani mambo ambayo yataiongeza nuru akili yako kwa habari ya Hazina Yako na Kizazi Chako. Karibu sana na Mungu akubariki. Ninaamini kama utakisoma kitabu hiki kwa kumaanisha na kwa umakini, basi Maisha yako hayatabaki kama yalivyo kiroho na kimwili. 

More Products On Discount
25,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Msafiri Lwihula

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

Best Sellers List
Best Seller
2,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
Old is Gold