• Call us +255 787 900 787

Your Cart

Checkout | Shopping Cart

KIBEKA

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
5,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Feb 19, 2021
Product Views:
3,377
In category:
Sample

Kwanini umchukie mtoto uliyemzaa mwenyewe? Ana kosa gani?

Utajiuliza inakuwaje hata mtu anaamua kumchukia mtoto aliyemzaa mwenyewe? Kila amwonapo, haishi kumtafutia sababu ya kumcharaza bakora kama si kumpa dhiki ya nafsi kabisa. Anaishi naye nyumba moja afanyaje tu vile HOFU jamii itakavyomchukulia lakini nje ya hapo, anatamani hata afe kwa njia ya asili. Mtoto hafi, anaishi hadi da'ika ya mwisho alipoamua kuuweka wazi ukweli wa mambo na ndipo yanaibuka mengine.

Kibeka! Kitabu kinachoelezea namna mbalimbali za malezi na haki ya mtoto kwa wazazi. Kimetazamia sana katika kuikwamua jamii kutoka katika mikono mikali ya tamaa. Kwani tamaa haijawahi kumpa mtu anachotaka.

More Products On Discount
25,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Msafiri Lwihula

7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

Best Sellers List
Best Seller
2,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
Old is Gold