• Call us +255 787 900 787

Your Cart

Checkout | Shopping Cart

Mzee Ndizi Aalikwa Kambini Okello Na Agaba Matatani

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
10,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Sep 04, 2023
Product Views:
685
In category:
Sample

Mzee Ndizi Aalikwa Kambini Okello na Agaba Matatani

Mara nyingi watu wa zamani na wa sasa hivi wana tabia ya kusukutua mdomo baada ya kumaliza kula. Wengi wao huwa hawamezi yale maji, bali wanatema nje kwa nguvu. Je, unajua kwa nini wanatema? Ili midomo yao ubaki safi bila mabaki ya chakula. Mabaki ya chakula mdomoni hufanya mdomo wako kunuka vibaya baada ya muda fulani ndio maana watu wa zamani na wengine wa siku hizi wanaendelea hadi leo kufanya hivyo. Kama una mswaki na dawa ya meno kama colgate, unashauriwa kupiga mswaki kila baada ya kula ili mdomo wako usinuke. Mdomo wako ukinuka watu wanaogopa kukaa karibu na wewe, yaani, wanakukwepa kabisa. Kwa hiyo, Mzee Ndizi baada ya kusukutua mdomo wake, alitembea moja kwa moja, akainama juu ya ukuta na kutema maji machafu. Je, unajua ametema wapi?

Endelea kusoma ili kupata undani wake.........!

More Products On Discount
7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

25,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Msafiri Lwihula

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

More Products From This Seller
14,000 Tsh.

Sold by: Nelson Ebong

Best Sellers List
Best Seller
2,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
Old is Gold