• Call us +255 787 900 787

Your Cart

Checkout | Shopping Cart
Best Seller

USICHOKIJUA KUHUSU MALEZI

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
15,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Oct 23, 2023
Product Views:
705
In category:
Sample

Miongoni mwa mambo yanayojenga ama kubomoa hatima ya mtu ni sauti za ndani, vifungo hisia, tafsiri isiyo sahihi kuhusu upendo, kunyanyaswa na kudekezwa. Bahati mbaya yote haya ni matokeo ya namna mtoto anavyolelewa. Kwa wazazi wengi, watoto huaribiwa na mazingira, marafiki na utandawazi lakini mantiki ya malezi ni uwepo wa mtu kwenye maisha ya mtoto ambaye atamsaidia kutoathiriwa na hivi vyote. Ikiwa hivi vimefanikiwa kumuharibu mtoto, tatizo ni la mzazi. Kitabu hiki kina mbinu, maarifa na majibu ya maswali yako mengi kuhusu malezi salama ya watoto wako ikiwa unatamani awe na hatima njema. Kukisoma na kuyafanyia kazi kuna faida kubwa kuliko matunzo mazuri unayompatia mtoto.

Kitabu bora cha Malezi ambacho

1. Kinamsaidia msomaji kuona jinsi alivyolelewa na namna malezi yamemfanya kuwa alivyo

2.Mzazi kujitathmini anamlea vipi mtoto wake na itamfanya mtoto wake aweje

3. Mbinu za kumlea mtoto ili afikie hatima yake

Kimeandikwa na Deogratius Sukambi

More Products On Discount
25,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Msafiri Lwihula

7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

Best Sellers List
Best Seller
2,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
Old is Gold